iqna

IQNA

al anbiya
Sura za Qur'ani Tukufu / 21
TEHRAN (IQNA) – Hadithi za Mitume 16 wa Mwenyezi Mungu zimetajwa katika Sura Al-Anbiya ya Qur’ani Tukufu ili kudhihirisha ukweli kwamba Mitume wote walifuata njia moja na walifuata lengo moja na kwamba wafuasi wao wote ni Ummah mmoja.
Habari ID: 3475955    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19